TAFAKURI JADIDI!: Upangwaji matokeo katika Ligi Yetu
Dhana ya kutokuwa na hatia ni kanuni ya kisheria ambayo mtu huchukuliwa kuwa hana hatia hadi athibitishwe na hatia
Dhana ya kutokuwa na hatia ni kanuni ya kisheria ambayo mtu huchukuliwa kuwa hana hatia hadi athibitishwe na hatia
Lipangile ” napendelea kucheza kama mshambuliaji, ndio “naenjoy”zaidi kandanda niwapo uwanjani.”
Baada ya kauli hiyo TFF ikaamua kuipa kamati ya maadili maagizo juu ya mlinda mlango huyo kinda.
Je Sadala Lipangile tumaini jipya kwa mwalimu Ettiene Ndayiragije katika kusuka kikosi kwaajili ya michuano ya CHAN?
Lakini baada ya ujio wa Morrison mashabiki wa Yanga wamekua wakisikika wakisema nawao wamepata Deo Kanda wao, kwa maana wamepata kiungo mahiri wa pembeni mwenye uwezo kama wake.
Msimu huu yuko hovyo kiasi, makali yake yamepungua, lakini kuna sababu tatu zinazofanya tumuone Kagere wa namna hii.
Nchimbi ameiambia tovuti ataendelea kusaka mabao kadri ya nguvu za Mungu zitakavyomruhusu kuweza kufanya vyema na kutupia magoli. Huku pia akiahidi kuendelea kufunga “Hatrick” katika VPL.
Ditram Nchimbi aka Duma 29 amekabidhiwa kiatu chake ikiwa ni sehemu ya kusheherekea na wachezaji wanaofunga mabao mengi kwa mwezi.
Tunaongoza kwa alama 16 ili Yanga atufikie tunatakiwa tupoteze michezo mitano, sasa Sheikh Simba hii inafungwaje michezo mitano? Tutakua wapi? Au tutakua tumelewa au tumelala?
Klabu ya Simba ambayo ni bingwa mtetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, imebakiwa na mchezo mmoja tu kumaliza mzunguko wa kwanza dhidi ya Alliance.