OLE OLE OLE OLEEEE!
Zama zinabadilika maendeleo ya tabia nchi na teknolojia mpya zinagusa mifumo ya maisha yetu ya kila siku inashangaza kuona Mgambo bado zana yake ya ulinzi inabaki kuwa KIRUNGU.
Zama zinabadilika maendeleo ya tabia nchi na teknolojia mpya zinagusa mifumo ya maisha yetu ya kila siku inashangaza kuona Mgambo bado zana yake ya ulinzi inabaki kuwa KIRUNGU.
Kandanda inakupa utabiri wa mechi na sababu zake, kutana na Martin Kiyumbi,akikusaidia kupata hela leo.
Mshambuliaji wa klabu ya Mbeya City, Eliud Ambokile, yupo safarini muda huu kuelekea Misri kwaajili ya majaribio karika klabu ya El Gouna SC inayoshiriko Ligi Kuu nchini humo.
Kmc vs Coastal Union!
KMC licha ya ushindi mnono wa mabao matano watajilaumu kwa nafasi nyingi walizopoteza.
Fursa za Simba kushiriki michuano ya kimataifa zimebaki mbili tu, kuchukua kombe la klabu bingwa Afrika au TPL.
JE inawezekana kirahisi?
KMC iko katika nafasi ya nne ikiwa na alama 31
Bao la Mbao FF limefungwa na kiuongo wa zamani wa Njombe Mji Raphael Siame katika dakika ya 72
Amecheza michezo 54 kwenye timu ya Taifa ya Uholanzi akifunga mabao nane, pia aliwahi kuwa kwenye kikosi hicho kilichocheza mchezo wa fainali na Uhispania katika kombe la dunia mwaka 2010.
Alama moja ambayo Alliance waliyoipata dhidi ya Tanzania Prisons kwenye uwanja wa Nyamagana imewafanya kufikisha alama 25