Matukio ya Mchezo wa Ligi ya Mabingwa, Simba vs JS Saoura katika picha.
Simba walishinda kwa jumla ya mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura, Mabao yaliyofungwa na Emmanuel Okwi na Meddie Kagere.
Simba walishinda kwa jumla ya mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura, Mabao yaliyofungwa na Emmanuel Okwi na Meddie Kagere.
Ulimwengu alijikuta anateseka tangu anakanyaga nyasi za uwanja wa Taifa.
Popadic aliiwezesha Simba kutwaa mataji saba kati ya mwaka 1994 na 1996,
Katika magoli yote 12 ya Simba katika michuano hii, magoli 7 yamefungwa na washambuliaji ikiwa ni asilimia 58.3, na magoli 5 yametiwa kimyani na viungo, hii ni sawa na asilimia 41.7.
Simba sc ni kama imepata msaidizi wa Chama ndani ya uwanja.
Deo munishi amekua na kiwango cha kusikitisha haswa katika mchezo wa FA dhidi ya Mashujaa
Misri iliomba uwenyeji sambasamba na Afrika Kusini mara tu baada ya Cameroon kupokonywa
Akiwa na uzoefu mkubwa haswa kutoka kwenye timu ya Taifa ya Uganda.
Nyoni anaendelea na vipimo leo hapa Dar es Salaam na taarifa zaidi itatolewa kesho na Msemaji wa Klabu
Ikumbukwe kuwa bingwa wa michuano hii atapata nafasi ya kucheza na timu ya Everton kutoka nchini Uingereza katika tarehe ambayo itapangwa hapo baadae.