Miraj Athuman na rekodi ya kutisha!
Baada ya Simba kuifunga mabao manne kwa moja Yanga na kukata tiketi ya kwenda fainali ya kombe la FA imekua ni habati na historia kwa upande wa wachezaji Shevi na Haruna Shamte.
Baada ya Simba kuifunga mabao manne kwa moja Yanga na kukata tiketi ya kwenda fainali ya kombe la FA imekua ni habati na historia kwa upande wa wachezaji Shevi na Haruna Shamte.
Simba walimuacha okwi, James kotei Chuma, kipenzi cha Mashabiki, leo baadhi yao wanajutia uamuzi ule, kwanini kesho waruhusu Fraga aondoke?
Nahodha wa Simba sc Papaa John Raphael Bocco baada ya furaha ya kuifunga Yanga katika mchezo wa nusu fainali ya FA TFF ni kama wameendelea kumnogeshea sherehe
Simba inakwenda kukutana na Yanga kwa mara ya tatu msimu huu huku ikiwa imeambulia sare ya mabao mawili kwa mawili katika mchezo wa kwanza huku wapili wakifungwa bao moja bila lililofungwa na Benard Morisson.
Ni lazima kuifunga Simba nusu fainali. Yanga katika mchezo wa kesho watakua na machaguo matatu ambayo ni Ushindi, Ushindi, Ushindi.
kuibuka na kushindania ubingwa wa Ligi kama ambavyo aliwahi kufanya Leicester City katika EPL. Ni ngumu kutokea kwa maajabu kama haya, ni wazi sasa Simba ataendelea kutesa katika kutwaa ubingwa wa Bara.
Waswahili hutumia neno “Gundu” kwa kuashiria bahati mbaya, kukosa bahati ama mkosi, ndicho unachoweza kusema kwa timu zote mbili Simba na Yanga kuelekea mchezo wao wa nusu fainali wa Azam Sports Federation Cup.
Mara ya mwisho kwa Namungo FC kufungwa ilikuwa dhidi ya Simba kwenye uwanja wa Taifa walipofungwa magoli 3-2 . Tangu hapo wamepitia mechi 19 bila kufungwa na leo watakuwa wanatafuta mechi ya 20 bila kufungwa.
mchezo mgumu kutokana na uimara wa wapinzani lakini atahakikisha tunapata ushindi ili kunogesha sherehe za kukabidhiwa taji letu la ubingwa.
Nyota wakubwa Barani Afrika kujiunga nao, kwa maaana mchezaji mkubwa anapenda kushiriki michuano mikubwa.