SIMBA ndiyo Baba lao, yaifunika YANGA
Leo Simba imeonesha kuwa ndiyo baba lao Baada….Stori zaidi.
Leo Simba imeonesha kuwa ndiyo baba lao Baada….Stori zaidi.
Baada ya Jana kushuhudia Yanga wakishinda goli 4-0….Stori zaidi.
“Sven Van Den Broeck alituma maombi ya kazi kwetu Baada ya Mwinyi Zahera kutimuliwa , sisi tulimkataa na tulimpomkataa aliamua kuomba kazi kwenye klabu ya Simba Baada ya sisi kumkataa”.
James Kotei anaonekana kuwa katika wakati mgumu Baada ya timu yake ya Kaizer Chiefs kuachana naye . Kuachana na mchezaji huyo kunamfanya awe huru kusajiliwa na timu yoyote kwa makubaliano binafsi.
Tayari Simba walishavunja ndoa yao na Patrick Aussems , ndoa ambayo imedumu kwa kipindi cha msimu mmoja na robo.
Simba waliachana rasmi na kocha wao Patrick Aussems baada ya kushindwa kufiki malengo yako. Kandanda inakuangazia nani anaweza chuku nafasi yake.
Simba walifanikiwa kuitandika Ruvu bao 3-0 katika mchezo wa Ligi kuu Bara
anaweza kucheza kama “Inverted Full back” Kwa maana timu inaposhambulia, Kessy hupanda na kuungana na kiungo wa ulinzi.
Umeugundua mchango na umuhimu wa Mzamiru katika kikosi cha Simba? Mkeyenge anaangazia pia.
Twende sawa, niambie maoni yako ni yepi, Je unakubaliana na mimi kuwa Kagere na Mzamiru ndio wachezaji wakutumainiwa zaidi ndani ya Msimbazi?