Simba sc na Cameroon ngoma droo!
Timu ya Cameroon tayari imewasili nchini iliwa tayari kabisa kushiriki michuano ya Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayofanyika Tanzania kwa mara ya kwanza.
Timu ya Cameroon tayari imewasili nchini iliwa tayari kabisa kushiriki michuano ya Afcon kwa vijana chini ya umri wa miaka 17 inayofanyika Tanzania kwa mara ya kwanza.
Tusiwalaumu kabisa. Najua jana John Bocco alikosa nafasi tatu za wazi ikiwemo penati. Nafasi ambazo zinaweza kumgombanisha na mashabiki.
Wanatakiwa kufa wakiwa wanatabasamu. Wamefanya kazi ambayo ni kubwa.
Hata baada ya mazoezi kuisha wawili hao walionekana wakiwa pamoja kama wanajadili mambo huku wakionekana wenye hamasa.
Unatakiwa ujue kucheza ugenini. Hapa ndipo jina la Pierre Lenchantre linapokuja kichwani mwangu.
Simba inaenda kukutana Tp Mazembe katika mchezo wa kwanza jijini Dar es salaam huku ikiwa na kumbukumbu nzuri baada ya kuwafunga Wacongo wenzao AS Vita katika dimba hilohilo la Taifa.
Mpambano ni mkali kwa jinsi ligi inakoelekea, Simba kajiimarisha ndani na nje, Yanga wafanye nini?
Ndio klabu yenye mafanikio makubwa zaidi nchini ikiwa na jumla ya mataji 35.
Kikosi cha wekundu wa Msimbazi Simba Sports Club….Stori zaidi.
“Naomba niwape UPDATES za BUNJU baada ya Wiki 2 Uwanja wa Mazoezi utakuwa Tayari baada ya TAKUKURU kuziachia NYASI hizo baada ya Kukamilika kwa Uchunguzi wa Kesi ya Msingi”-CEO Crescentius Magori