Kuukataa U-UNDERDOG kumewaponza Simba
Simba ilipoteza vibaya mchezo wake dhidi ya AS VITA Club hapo jana.
Simba ilipoteza vibaya mchezo wake dhidi ya AS VITA Club hapo jana.
“Tunajua wataanza kutushambulia kwa kasi kama ilivyo kawaida kwa klabu kama Vita katika michezo yake ya nyumbani”
Kesho Klabu ya Simba itacheza na Association Sportive Vita ( As Vita) katika uwanja wa Stade des martyrs wenye uwezo wa kubeba mashabiki 80,000.
Simba ipo nchini DRC tayari kwa mchezo wa klabu bingwa dhidi ya AS Vita Club.
Fursa za Simba kushiriki michuano ya kimataifa zimebaki mbili tu, kuchukua kombe la klabu bingwa Afrika au TPL.
JE inawezekana kirahisi?
Simba inakwenda kucheza mchezo wa pili katika hatua ya makundi.
Simba itacheza na AS Vita katika mchezo wale wa pili wa makundi.
ni mzuri kukaba kwa kutokea nyuma (blind side defending).Kwa kule Ulaya bila shaka N’Golo Kante, Sergio Busquet, na Casemiro wanazijua kazi hizi kwa usahihi mkubwa.
Simba inatakiwa kukusanya alama zote 6 kutoka kwao kutokana na ukongwe wao Africa
Said Ndemla anaondoka anaiacha Simba ikiwa katika michezo muhimu ya klabu bingwa Africa.