Mataifa AfrikaTimu yangu, chaguo langu! Kila lakheri Taifa StarsTigana Lukinja2 years agoMimi naamini kwa timu yetu nzima naamini kwa uzoefu wa nahodha wetu Mbwana Samatta na wenzake wengi wanaocheza ndani na nje ya nchi.
Mataifa AfrikaTanzania kufuzu Afcon ni kama filamu kwetu!Tigana Lukinja2 years agoNiacheni nionekane muoga tu lakini akili yangu inampitisha moja kwa moja Algeria kuchukua nafasi moja wapo kati ya hizo mbili.
UhamishoMshambulaliaji wa Uganda kutimkia Villareal.Thomas Mselemu4 years agonchini Hispania katika timu ya Villareal baada ya kufanya vizuri katika michezo ya Kimataifa akiwa na Proline fc na timu ya Taifa ya Uganda.
BlogFUFA yawasaidia wachezaji wake na Corona!KandandaTz4 years agoChama cha soka nchini Uganda kimetoa msaada huo ili kupunguza makali katika kipindi hiki ambacho Ligi zimesimama.
MashindanoStars yafia kwa mwenyeji!KandandaTz4 years agoKwa matokeo hayo sasa ni timu za Kundi A Eritrea na Uganda ndio zitakazomenyana fainali na kuweza kumpata mshindi wa michuano hiyo kwa mwaka huu.
Mataifa AfrikaStars mambo ni moto Uganda anatokajee sasaa?Thomas Mselemu5 years agoKina Iddi Pazi, Peter Tino na Athumani Chama walikuepo Taifa kuwapa maneno ya ushindi kina Msuva, Samata, Yondani na wenzie.
Mataifa AfrikaTanzania yapewa onyoAbdallah Saleh5 years agoTanzania inahitaji kufuzu kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1980, huku Uganda wao wakirejea baada kushiriki fainali zilizofanyika Gabon 2017.
Mataifa AfrikaNakiunga mkono kikosi cha Amunike kwa sababu moja tu!Martin Kiyumbi5 years agoKila mtu ana jicho lake, jinsi anavyokiona kikosi cha Amunike. kuna wanaoona kikosi kimesheheni mabeki watupu, kuna wanaoona kikosi kiliwahitaji baadhi ya nyota ambao hawakuitwa. Lakini jambo pekee la msingi la kushika ni kwamba UKOCHA NI TAALUMA.
MashindanoAmunike aita kikosi cha Stars maproo 10 wajumuishwaThomas Mselemu5 years agoKikosi hicho kinajumuisha wachezaji 10 wanaocheza soka la kulipwa huku kukiwa na sura mpya kutoka klabu ya Mbao fc ya Mwanza.
BlogUganda haitaibeba Stars zaidi ya kuifundisha.Baraka Mbolembole5 years agoGOLI la kichwa la mshambulizi, Patrick Henry dakika 11 kabla ya kumalizika kwa mchezo limeipa Uganda ´Korongo´ tiketi ya kufuzu...