Kuipa ubingwa Yanga ni kupingana na Ulimwengu…
Simba itatangaza ubingwa katika mechi dhidi ya Ndanda, uwanja wa taifa au dhidi ya Singida United pale Namfua, lakini hayo yote yatakuja endapo Yanga atashinda mechi zake zote za ligi.
Simba itatangaza ubingwa katika mechi dhidi ya Ndanda, uwanja wa taifa au dhidi ya Singida United pale Namfua, lakini hayo yote yatakuja endapo Yanga atashinda mechi zake zote za ligi.
Hadi sasa Simba imeshacheza mechi 30 na tayari imekusanya alama 78, ikiwa ni tofauti ya alama 9 walizochukua ubingwa msimu uliopita.
Eto’o alimuahidi Kelvin John kuhusu timu ya kwenda kucheza Ufaransa iwapo tu…
“Aaaah vingi , kwa mfano kama uliangalia mechi yetu dhidi ya Nigeria wakati tunaongoza…
Nahodha wa Barcelona Lionel Messi amewaonya wachezaji wenzake….Stori zaidi.
Kocha wa timu ya Taifa, Amunike, ameita kikosi chake kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Misri.
Leo hii tuliyoshinda majumbani kwetu bila ya kwenda makazini kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi, tuiingie katika tovuti hii kuona taarifa mbalimbali za kimichezo na makala za kutosha.
Tuache uwongo! Mchezaji wa kitanzania anauwezo wakucheza hata juu ya mti mradi tu magoli yawepo.
Kandanda ilifanya mahojiano mafupi na Himid Mao anayeichezea klabu ya Petrojet ya nchini Misri. Unaweza fuatilia kwa undani.
Tunashukuru sana kwa kufanikisha miaka nane yetu ya kuwapa wasomaji wetu habari za mpira wa miguu pekee. Hatutawaangusha!