Azam FC yamfukuzisha kazi Bakari Shime
Kocha huyo ambaye aliipandisha timu kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ligi kuu msimu huu amefukuzwa kazi baada ya timu yake kufungwa goli 6-1 na Azam FC.
Kocha huyo ambaye aliipandisha timu kutoka ligi daraja la kwanza mpaka ligi kuu msimu huu amefukuzwa kazi baada ya timu yake kufungwa goli 6-1 na Azam FC.
Kikosi cha timu ya soka ya Mtibwa Sugar….Stori zaidi.
Kocha wa timu ya Taifa ya Rwanda (Amavubi)….Stori zaidi.
Kamati ya Nidhamu ya TFF imebaini kuwa Abdalah Shaibu Ninja alimpiga kiwiko beki wa Coastal Union katika mechi iliyochezwa katika uwanja wa Mkwakwani Tanga.
Jana kulikuwa na mechi ambayo ilikuwa na ushindani….Stori zaidi.
Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati, Azam….Stori zaidi.
Lakini leo klabu ya Simba imetoa habari nzuri kwa mashabiki wa Kapombe na Simba pia baada ya kutaja urejeo wake hivi karibuni.
Mwinyi Zahera amedai kuwa hajawahi kusema Yanga itabeba kikombe chini ya mikono yake kwa sababu timu yake haina uwezo huo.
Kwenye michezo 10 ya kwanza Ibrahim Ajib aliweza kutoa msaada wa mabao “assist” 13 lakini kwenye michezo mitano ya mwisho ametoa “assist” moja tu.
Idadi kubwa ya magoli ligi kuu Tanzania bara anayo yeye, yeye ndiye mfungaji bora wa muda wote, anagoli zaidi ya 100. Mchezaji aliyezifunga goli nyingi timu za Simba na Yanga rekodi pia anayo yeye. Ni mchezaji bora wa msimu uliopita. Na ni kepteni wa timu kubwa kama Simba. Bado unamchukulia poa tu?.