Namuelewa sana KAKOLANYA kuliko ZAHERA!
Baada ya Yanga kumwambia Beno hahitajiki tena katika klabu hiyo.
Baada ya Yanga kumwambia Beno hahitajiki tena katika klabu hiyo.
Timu zikiendelea kukimbizana na dirisha dogo la usajili, Ruvushooting pia yafanya yake.
Shirikisho la soka nchini TFF limethibitisha kuwa michezo miwili ya nyumbani ya African Lyon dhidi ya Simba na Yanga itafanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid uliopo Jijini Arusha.
Klabu ya soka ya Alliance ya jijini Mwanza….Stori zaidi.
Habari ambazo zimeenea na viongozi wa Yanga kuwa na kigugumizi kuthibitisha ni kuwa kiungo wa African Lyon na aliyewahi kuchezea Simba, Haruna Moshi “Boban” kuwa amesajiliwa na klabu ya Yanga.
Nini kinachoitafuna Mbao Fc, kandanda imeongea na Kocha wa zamani wa timu hiyo, Amri Said
Klabu ya soka ya African Lyon imesema haiwezi kuzungumza lolote kuhusu kuondoka kwa Haruna Moshi Boban ambaye anahusishwa na kujiunga na Yanga SC Kwani bado hawana uhakika na usajili huo na zingine.
Wiki imeisha na wiki mpya imeanza bila ya Simba kucheza mchezo wowote wa ligi kuu Tanzania kwa kisingizio cha kujiandaa na michuano ya kimataifa.
Klabu ya soka ya Azam imefikia maamuzi ya….Stori zaidi.
Kuna wengine watakumbuka sanaa ambayo alikuwa akiionesha uwanjani,….Stori zaidi.