Kuna siku Emmanuel Okwi atajengewa sanamu!
Okwi amekuwa msaada mkubwa kwa klabu ya Simba na soka la Tanzania wakati wote akicheza hapa.
Okwi amekuwa msaada mkubwa kwa klabu ya Simba na soka la Tanzania wakati wote akicheza hapa.
Women’s Premier League) imeendelea jana, huku Yanga Princess ikiwakaribisha Simba Queens katika mchezo wa raundi ya tano, Yanga Princess walikubali kulala kwa jumla ya magoli 7-0 huku Mwanahamisi Omari
Simba walishinda kwa jumla ya mabao 3-0 dhidi ya JS Saoura, Mabao yaliyofungwa na Emmanuel Okwi na Meddie Kagere.
Ulimwengu alijikuta anateseka tangu anakanyaga nyasi za uwanja wa Taifa.
Katika magoli yote 12 ya Simba katika michuano hii, magoli 7 yamefungwa na washambuliaji ikiwa ni asilimia 58.3, na magoli 5 yametiwa kimyani na viungo, hii ni sawa na asilimia 41.7.
Simba sc ni kama imepata msaidizi wa Chama ndani ya uwanja.
penati aliyomfunga Aishi Manula katika mchezo wa ngao ya jamii, mwaka 2017? “PANENKA PENALTY GOAL” licha ya Simba kuibuka na ushindi lakini penati ya fundi huyo ilionekana kuwa bamba wengi
Deo munishi amekua na kiwango cha kusikitisha haswa katika mchezo wa FA dhidi ya Mashujaa
Akiwa na uzoefu mkubwa haswa kutoka kwenye timu ya Taifa ya Uganda.
Nyoni anaendelea na vipimo leo hapa Dar es Salaam na taarifa zaidi itatolewa kesho na Msemaji wa Klabu