Uchambuzi yakinifu

Ligi KuuUhamisho

Obrey CHIRWA kwenda Azam Fc ni pigo kwa YANGA

Msimu jana ulikuwa mgumu sana kwa Yanga kuanzia ndani mpaka nje ya uwanja. Ilikuwa Yanga ambayo ilikuwa na matatizo mengi sana. Matatizo ambayo yalichangia kwa kiasi kikubwa wao kupoteza ubingwa wao kwa wapinzani wao Simba. Haikuwa Yanga ile ambayo tulikuwa tumeizoea, Yanga ambayo ilifanikiwa kuchukua ubingwa wa ligi kuu Tanzania...
1 247 248 249 250 251 328
Page 249 of 328