Haruna Niyonzima dobi mwenye makazi yake Jangwani!
Kilichofuata hapo ni historia, hakuna mwanaYanga asiyemjua, hakuna mchezaji wa timu pinzani asiemuhofia, wote walikua wakimuona tu, wanajua kazi ipo leo!
Kilichofuata hapo ni historia, hakuna mwanaYanga asiyemjua, hakuna mchezaji wa timu pinzani asiemuhofia, wote walikua wakimuona tu, wanajua kazi ipo leo!
Kumekuwa na taarifa nyingi sana ambazo kuhusu….Stori zaidi.
Mjadala mkubwa hivi karibuni umekuwa ni utaratibu ambao unatazamiwa kuletwa katika Ligi Kuu Tanzania bara, fuatilia makala hii ambayo inakupa kwa undani mtazamo wa suala hili kutoka kwa mwandishi.
Kutokana na athari hizo tazama nyota ambao huenda wakakosekana katika vikosi vyao.
Vilabu kama KMC, Azamfc, Simba na Yanga watawakosa baadhi ya wachezaji na makocha wao kutokana na nchi nyingi kufungwa kwa viwanja vya ndege.
Hizi ndizo timu bora kwa misimu mitatu, kwa kujikusanyia alama nyingi na kufanya vizuri katika msimamo wa Ligi Kuu Tanzania Bara.
Haya ni matokeo ya mechi zote 28 za klabu ya Simba Sc msimu huu hadi ligi iliposimama. Mabingwa hao watetezi katika mechi zote hizo 28 wameshinda mechi 23, ikipoteza mechi tatu na kutoka sare mbili tu.
Lakini hebu tujiulize mwamba huyu wa Lusaka angecheza wapi katika kikosi hicho cha Yanga?
Unadhani ni rahisi kuwekeza Bilioni 20 kwa mkupuo kwenye biashara yenye thamani ya Bilioni 4? Hebu twende darasani sasa..
Hiki ni kikosi kilichotisha sana hata ukikiaangalia tu, tutajie majina yao katika picha hii na tuambie kitu gani kiliwafanya waonekane ‘nyau’ katika mechi za klabu Bingwa msimu huo