Malipo kwa Karia yaliidhinishwa!
Kitu muhimu cha kujiuliza, pesa hizo zimefanya nini katika soka letu? Majibu pia utayapata hapa hapa.
Kitu muhimu cha kujiuliza, pesa hizo zimefanya nini katika soka letu? Majibu pia utayapata hapa hapa.
Leo hii ukimsifia Kelvin John, au Edmund John unatakiwa usisahau kumsifia Jamal Malinzi katika makuzi yao.
Scott McTomminay ambaye alifanikiwa kucheza mipira yote ya juu katika mchezo wa jana tena kwa utulivu mkubwa.
TP Mazembe chini ya kocha Pamhile Mihayo Kazembe, inashika nafasi ya 2 katika msimamo wa Linafoot ikiwa na alama 58 wakicheza michezo 23 nyuma ya vinara AS Club Vita wenye alama 65 katika nafasi ya kwanza wakicheza michezo 25.
Mjadala ulioko KandandaChat: Natamani sana Waziri Mwakyembe aigeukie CCM kama Waziri mwenye dhamana ya michezo kuwaambia wa vikarabati hivi viwanja.
Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF mwaka huu ni kama mwaka wao kutokana na ratiba ya CAF na FIFA kuwabana haswa.
Kijana mmoja nchini Uingereza amejisalimisha mwenyewe Polisi mjini….Stori zaidi.
Waliokua nje ni pamoja na kipa Ally Salim, Yusuph Mlipili na kiungo Said Ndemla
Pia katika Ligi hiyo timu nyingine zinazochezewa na Watanzani wameendelea kupishana katika nafasi tofauti kwenye msimamo.
Yanga inatarajiwa kufanya uchanguzi wake mkuu mwezi wa tano. Uchaguzi ambao ni muhimu kwa afya ya klabu